Tuesday, April 26, 2011

Just as I came to learn an see dingoes!!!

Once I was unaware of dingoes!! Today I just came across this program on Discovery channel, naming these dingoes!!. Couldn't pay attention and now guess what?! Am on MSN site and I read this "2 dingoes maul 3-year-old girl on Australia beach".

Saturday, November 6, 2010

Ni nani ndani, nani nje baraza la mawaziri

Katika hotuba ya shukrani kama alivyoitamburisha rais Kikwete baada ya kuapishwa kama rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania hii leo. Hakusita kugusia swala la baraza la mawaziri.
Muhimu zaidi alichoeleza katika hotuba hiyo, ni kua baraza hilo litajulika katika siku chache za usoni.

Bila shaka baraza ilo wazi linaonesha kua baadhi ya vigogo hawatakuepo ikiwa pamoja na Mh. Masha. Hii inahashiria nini? Jibu ni kwamba tutegemee baadhi ya sura mpya katika baraza hilo.

Na mwisho kabisa, je nani atabaki na nani atatoka. Naweza kusema "ishu ni nzito" na saivi matumbo joto. Kazi kweli.

Thursday, November 4, 2010

Serikali ya kitaifa Zanzibar yaja

Dr. Shein ndio tayari kaapishwa kama rais wa saba wa Zanzibar. Na jukumu kubwa lililopo mikono mwake ni swala zima la serikali ya kitaifa.
Hii ni baada ya wananchi kuunga mkono swala hilo.

Maswali ni mengi ya kua ni jinsi gani serikali hiyo itaendeshwa. Ikiwa tayari bunge la Zanzibar lilikwisha kaa na kujadili uundwaji huo.
Sasa swala zima la utekelezwaji ndio linasubiriwa.

Na je, Wazanzibar kwa kuunga mkono. Mafanikio yatapatikana? Pengine ni mapema sana kupata majibu.

Sunday, October 31, 2010

Zoezi la kupiga kura 2010 Tanzania

Ikiwa hali ikiendelea kua shwari katika zoezi zima la upigaji kura. Lakini dosari mbali mbali zimeendelea kujitokeza, ikiwa ni pamoja na majina kutoonekana katika vituo. Vile vile baadhi ya karatasi za udiwani zikiwa hazipo katika moja ya kata.

Kutokana na kasoro hizo maswali mbali mbali yamekua yakijitokeza.

Published by: N. Al-Kalombola

Tuesday, October 19, 2010

Electoral fraud

During the time for elections, this is when you might come across what I'll be describing in this post. I have chosen this topic mainly to create awareness at the same time a general election is just around the corner.

An electoral fraud, this is illegal interference with the process of an election. When is said to be a fraud, usually vote counts are affected to bring about an election result, this can be in the manner of increasing the vote share of the favored candidate, while depressing the vote share of the rival candidates or even both.
The term 'electoral fraud' sometimes is used to describe acts which although legal, are considered to be morally unacceptable in violation of the principles of democracy.

We can see the effect of a successful electoral fraud can bring a coup d'etat or corruption of democracy. And this is when we can get to see voters reduce confidence in democracy. One thing leads to the other, people get less to accept the election results. This can lead to the break down of democracy and the establishment of a dictatorship.

God bless Africa, God bless Tanzania.

Prepared by: N. Al-Kalombola
Source: Wikipedia

Land Rover with the new Evoque

On 2010 at the Paris Motor Show, Land Rover showed its new Evoque.

The Evoque will be going on sale from the summer of 2011, from the British brand the Range Rover Evoque will be the smallest and most fuel-efficient SUV ever launched. Due to its birth, 1,000 British jobs have been created.

To mention who got one of these jobs is Victoria Beckham, who's played a big part in trimming the interior. The interior includes the eight inch 'dual view' centre screen that plays DVDs and sat-nav simultaneously.

Land Rover says the same grade of trim materials as a larger Range Rover is used here too. The Evoque uses Range Rover's first ever panoramic glass roof.

Land Rover has also revealed the new Evoque's engine line-up. The 2.2 litre turbo diesel features heavily; it is offered in 150hp TD4 and 190hp SD4 four-wheel drive. According to Land Rover, the TD4 can average 50mpg and emits 145g/km CO2.

Not only that, they will be the front wheel drive version offered too. Using a 150hp eD4 engine, claiming 58mpg and sub 130/km CO2 for this Evoque model!

There will be 2.0 litre Si4 turbo petrol, producing 240hp.

Without forgetting the price, the firm indicates it will start at 30,000 pounds lightly we look at 16k pounds LESS than the Range Rover Sport (and over HALF the price of the big Range Rover).

Prepared by: Nassor Khamis
Source: Richard Aucock, MSN Cars